Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Dah!!! Huyu jamaa kuna kipindi alichemka akiwa Liverpool!!!Leo katika Historia:
1984 - Stewart Downing anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa Liverpool, Aston Villa na timu ya taifa ya England.
Mulika mwiziAcha tabia za kibatari we Kwaguru
![]()
![]()
![]()
..............
Mimba za kipokwa wamepewa na akina Kinkoo(madomo zege)Anajiweza, wengine wanakuwa hoi hata kunyanyua mguu hawawezi.
Khaaaaa!Mimba za kipokwa wamepewa na akina Kinkoo(madomo zege)
![]()
![]()
![]()
............
Huyu ameua watu wengi sana kwa unga wake!Leo katika Historia:
1992 - Pablo Escobar anafanikiwa kutoroka gerezani huko Medellin nchini Colombia.
Ni mmoja kati ya wafanyabiashara hatari na tajiri wa Madawa ya Kulevya kuwahi kutokea katika uso wa Dunia.
Alikuwa na utajiri wa kutosha lakini hakuwahi kutambuliwa kwenye orodha ya matajiri wa dunia kwa kuwa vyanzo vya mapato yake ni biashara haramu.
Umelazimishwa kutumia we KibwanyinyoHuyu ameua watu wengi sana kwa unga wake!
Naomba kuuliza,Inategemea na mkataba!!
Kikofia ndio nani?Kikofia ndo rais wa Makinkoo
![]()
![]()
![]()
............
Wengine wanawekewa kwenye yale mambo yao, anashangaa kitu kimempa mzuka........anaingia bila kujua au kupenda!!! ndo basi tena....Umelazimishwa kutumia we Kibwanyinyo
YOLO
![]()
![]()
![]()
![]()
..........
Ohooooo sawa!
Unamkubali mhalifu?Namkubali sana huyu mlatino, hasimu wa Griselda

Ndio,Unamkubali mhalifu?![]()