Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Ha ha ha huyo kanizidi![]()
kama wewe vile..
Ha ha ha huyo kanizidi![]()
kama wewe vile..
Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa siku na muda husika
1. UGALI NA KUNDE
Mwitaji : Joniiiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Uje ukule
2. UGALI NA SAMAKI
Mwitaji: we Joniiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Unaitwa na Mama
3. WALI NA NYAMA/KUKU
Mwitaji: Joniiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Shauri yako
![]()
![]()
![]()
![]()
.........






umenikumbusha mbali sana mkuuIla kutumia au kuacha ni uamuzi wa mtu binafsiHuyu ameua watu wengi sana kwa unga wake!
Poa poa ntazifatiliaNahisi kwenye madukani yanayouza kamera
Kwenye pombe?Wengine wanawekewa kwenye yale mambo yao, anashangaa kitu kimempa mzuka........anaingia bila kujua au kupenda!!! ndo basi tena....
Hahaha Papaa katika ubora wakoHuu ni ukweli ulio UCHI!!!
Tena kazi kubwa sanaWanawake kwa hela bhana!!! They don't care zinapatikanaje!!!....Mh!!! Kazi tunayo![]()
Hujambo bibie?Hiyo ni habari njema kabisa
weka picha
Mbinu maridhawa kabisaAu upo mtaani unacheza kombolera, anakuja mtu kutoka nyumbani anakuambia Ole wako nikukute mikono yako michafu, kumbe unatakiwa kwenda kula
Unataka ukapige chabo wapi?Poa poa ntazifatilia
Mi mzima, hofu kwako tu, umepona sasa?Hujambo bibie?
Duh! huyo jamaa ni kibokoAliwahi kuwasha moto kwa kutumia dola kama kuni
Salama, habari ya weekend?Habari za mchana kf family
Nzuri, vp weweHabari za mchana kf family
Hahaha sina maana hiyo, mi sipendi jakamoyo atiUnataka ukapige chabo wapi?
Yap niko vizuri, namshukuru MunguMi mzima, hofu kwako tu, umepona sasa?
Ni njema sana kaka, karibuHabari za mchana kf family