Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa siku na muda husika

1. UGALI NA KUNDE
Mwitaji : Joniiiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Uje ukule

2. UGALI NA SAMAKI
Mwitaji: we Joniiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Unaitwa na Mama

3. WALI NA NYAMA/KUKU
Mwitaji: Joniiii
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Shauri yako

.........
umenikumbusha mbali sana mkuu
 
weka picha
1469187569277.jpg

Za Escobar hazifai kuweka picha haifai unaweza tamani kuwa mzungu wa dona bure
Hivyo hii itafaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom