Makapuku Forum

Makapuku Forum

_MME na MKE walikubaliana WAPEANE talaka TENA mahakamani,KUFIKA mahakamani_

_JAJI=sasa nyie mnao watoto watatu mtagawana vipi hao watoto???_

_Mke na mme wakajadiliana paaaleee,wakaamua wamwambie JAJI kwamba ''NGOJA TURUDI NYUMBAN TUKAONGEZE MTOTO MMOJA WAWE WANNE ILI TUGAWANE WAWIL WAWILI,BAADA YA MWAKA TUNARUDI''_

_baada ya MIEZI TISA kupita,WAKAPATA MAPACHA_
999b141364b5e94ded5545abdcdcf979.gif

They have no ujanja
.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom