Makapuku Forum

Makapuku Forum

_MME na MKE walikubaliana WAPEANE talaka TENA mahakamani,KUFIKA mahakamani_

_JAJI=sasa nyie mnao watoto watatu mtagawana vipi hao watoto???_

_Mke na mme wakajadiliana paaaleee,wakaamua wamwambie JAJI kwamba ''NGOJA TURUDI NYUMBAN TUKAONGEZE MTOTO MMOJA WAWE WANNE ILI TUGAWANE WAWIL WAWILI,BAADA YA MWAKA TUNARUDI''_

_baada ya MIEZI TISA kupita,WAKAPATA MAPACHA_
Hawa hawapaswi kuachana
 
c62a0fc483132e28dc91c81ad4540c6d.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom