Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Haiwahusu mbaki tu matopeni kwenuKesho ni judgement day
........
Haiwahusu mbaki tu matopeni kwenuKesho ni judgement day





_MME na MKE walikubaliana WAPEANE talaka TENA mahakamani,KUFIKA mahakamani_
_JAJI=sasa nyie mnao watoto watatu mtagawana vipi hao watoto???_
_Mke na mme wakajadiliana paaaleee,wakaamua wamwambie JAJI kwamba ''NGOJA TURUDI NYUMBAN TUKAONGEZE MTOTO MMOJA WAWE WANNE ILI TUGAWANE WAWIL WAWILI,BAADA YA MWAKA TUNARUDI''_
_baada ya MIEZI TISA kupita,WAKAPATA MAPACHA_![]()

Watarudi baadae usijali braza.Naona wakuu mko bizy
Mzima mkuu!Watarudi baadae usijali braza.
Poa sanaHabari ya jiona Marafiki!
Mchokozi kwelihalafu weweeee
Messi alie tu kwa kweli
Their destiny ni kuishi pamoja forever._MME na MKE walikubaliana WAPEANE talaka TENA mahakamani,KUFIKA mahakamani_
_JAJI=sasa nyie mnao watoto watatu mtagawana vipi hao watoto???_
_Mke na mme wakajadiliana paaaleee,wakaamua wamwambie JAJI kwamba ''NGOJA TURUDI NYUMBAN TUKAONGEZE MTOTO MMOJA WAWE WANNE ILI TUGAWANE WAWIL WAWILI,BAADA YA MWAKA TUNARUDI''_
_baada ya MIEZI TISA kupita,WAKAPATA MAPACHA_![]()
NakuonaTupo JF![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nzuri mkuu, uliadimika kama siku mbili tatu hiviHabari ya jiona Marafiki!
Maana hamna namna sasaMessi alie tu kwa kweli
Ni shiiiiida