Makapuku Forum

Makapuku Forum

_MME na MKE walikubaliana WAPEANE talaka TENA mahakamani,KUFIKA mahakamani_

_JAJI=sasa nyie mnao watoto watatu mtagawana vipi hao watoto???_

_Mke na mme wakajadiliana paaaleee,wakaamua wamwambie JAJI kwamba ''NGOJA TURUDI NYUMBAN TUKAONGEZE MTOTO MMOJA WAWE WANNE ILI TUGAWANE WAWIL WAWILI,BAADA YA MWAKA TUNARUDI''_

_baada ya MIEZI TISA kupita,WAKAPATA MAPACHA_[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115]
 
_MME na MKE walikubaliana WAPEANE talaka TENA mahakamani,KUFIKA mahakamani_

_JAJI=sasa nyie mnao watoto watatu mtagawana vipi hao watoto???_

_Mke na mme wakajadiliana paaaleee,wakaamua wamwambie JAJI kwamba ''NGOJA TURUDI NYUMBAN TUKAONGEZE MTOTO MMOJA WAWE WANNE ILI TUGAWANE WAWIL WAWILI,BAADA YA MWAKA TUNARUDI''_

_baada ya MIEZI TISA kupita,WAKAPATA MAPACHA_[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
b89680c9d089ca23dab9e9948bf9d798.jpg
Messi alie tu kwa kweli
 
_MME na MKE walikubaliana WAPEANE talaka TENA mahakamani,KUFIKA mahakamani_

_JAJI=sasa nyie mnao watoto watatu mtagawana vipi hao watoto???_

_Mke na mme wakajadiliana paaaleee,wakaamua wamwambie JAJI kwamba ''NGOJA TURUDI NYUMBAN TUKAONGEZE MTOTO MMOJA WAWE WANNE ILI TUGAWANE WAWIL WAWILI,BAADA YA MWAKA TUNARUDI''_

_baada ya MIEZI TISA kupita,WAKAPATA MAPACHA_[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115]
Their destiny ni kuishi pamoja forever.
 
Back
Top Bottom