Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hapana bhana, haya matusi, kiunazi na ushabiki nimewahi kiwa mnazi na mshabiki mmoja tu ulimwenguni n huyo ni thierry henry kichogo hata uchezaji wake nikajikuta nasakata kabumbu kama yeye mtaani nikaitwa kichogo.. Lakin hawa wengine huwa naonhea kwa ukweli wa dhat kabisa kapuku mwenzangu, sasa kumuita andunje messi hajui si kuutukana mpiara wa kizazi hiki, nikasikia mwngne kasema neymar mpumbav tu, mmoja juzi kaniambia cr7 chizi.. Nikitathimi mineno yao na macho yao.. Naona hawana macho bali wana vidonda
Mkuu hayo ni maneno ya watani nothing siriaz, so ukiwa na hisia kali utaumia...mbona kawaida sana haya maneno?
Hebu cool mkuu
 
Leo katika Historia;

27/06/1976 Ndegeya shirika la ndege la Ufaransa inatekwa na wanamgambo wa PLO toka Palestina ambao inalazimishwa kuja kutua Entebbe Uganda kwa Idd Amin Dada. Ndege hiyo ilikuwa na abiria wengi wa Israel.

27/06/1977 Djibouti inapata Uhuru wake toka kwa Ufaransa.

27/06/1977 Mchezaji wa zamani wa Real Madrid na Timu ya Taifa ya Hispania, Raul Gonzalez Blanco anazaliwa.

27/06/2007 Waziri Mkuu wa Uingereza Tony Blair anajiuzulu wadhifa huo baada ya kukaa madarakani kwa miaka 10.

Tarehe kama ya leo kila mwaka ni National HIV Testing Day nchini Marekani.
Mkuu uwe unatoa mojamoja ili tuweze kujazia nyama

.........
 
Yanga wametangaza kiingilio bure kesho!!

Muende kwa wingi mkashuhudie Mazembe anavyopiga goli zake 3.
cd77e99f4c4c9a5f3e61dd9dd0a56b7f.jpg
 
Kipindi anachezea Madrid nilikuwa bado mdogo na wala sikuwa shabiki wa mpira, sasa kaka angu alikuwa anapenda sana kwenda na mimi kuangalia mpira hasa mechi za madrid na asen8 sasa ile kuwacheki kina Raul, Zizou, Guti nk nikajikuta nakuwa mpenzi sana wa Madrid
Ila badala ya kuielewa asen8 nikajikuta naipenda man United nje ndani,
mpaka leo bado niko na hizo club sambamba kabisa
8bc82e7a0a1ee2d8d868b88bf8f5f2e3.jpg
973165491f5ebef14359212e0f145e75.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom