Hahahah
swali lipi hilo?Afadhali timu Messi umeonekana,Kuna swali lipo hapo juu
HiloMnaizungumzia vipi penalty mess aliyopaiza juu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hivi ile penati alikuwa anakusudia kuangua maembe au??swali lipi hilo?
Asante mkuu kwa historiaLeo katika Historia;
27/06/1976 Ndegeya shirika la ndege la Ufaransa inatekwa na wanamgambo wa PLO toka Palestina ambao inalazimishwa kuja kutua Entebbe Uganda kwa Idd Amin Dada. Ndege hiyo ilikuwa na abiria wengi wa Israel.
27/06/1977 Djibouti inapata Uhuru wake toka kwa Ufaransa.
27/06/1977 Mchezaji wa zamani wa Real Madrid na Timu ya Taifa ya Hispania, Raul Gonzalez Blanco anazaliwa.
27/06/2007 Waziri Mkuu wa Uingereza Tony Blair anajiuzulu wadhifa huo baada ya kukaa madarakani kwa miaka 10.
Tarehe kama ya leo kila mwaka ni National HIV Testing Day nchini Marekani.

Usiku mwemaNalala now
Tukutane baadaye
....................
Mzigo tayari natumai umeufurahiaJimena leta magazeti
Sasa ndo ujue kuwa Messi hajuiAsiyekubali kushindwa si mshindani. Japo sijawahi kuwa mshabiki wa Argentina. Mimi ni mshabiki wa Messi
Asante sana kwa Chile na jimena kwa kutuletea magazetiView attachment 360568View attachment 360570View attachment 360571
Kwa udhamini mkubwa kabisa wa Chile...
Nawashukuru kwa kuwa pamoja
Sina la ziada kwa Leo...
Ciao