Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mchezo hauhitaji hasira kuwa mpole tu
Hapana bhana, haya matusi, kiunazi na ushabiki nimewahi kiwa mnazi na mshabiki mmoja tu ulimwenguni n huyo ni thierry henry kichogo hata uchezaji wake nikajikuta nasakata kabumbu kama yeye mtaani nikaitwa kichogo.. Lakin hawa wengine huwa naonhea kwa ukweli wa dhat kabisa kapuku mwenzangu, sasa kumuita andunje messi hajui si kuutukana mpiara wa kizazi hiki, nikasikia mwngne kasema neymar mpumbav tu, mmoja juzi kaniambia cr7 chizi.. Nikitathimi mineno yao na macho yao.. Naona hawana macho bali wana vidonda
 
ana miaka 39. Amemzidi Buffon mwaka mmoja.
Kipindi anachezea Madrid nilikuwa bado mdogo na wala sikuwa shabiki wa mpira, sasa kaka angu alikuwa anapenda sana kwenda na mimi kuangalia mpira hasa mechi za madrid na asen8 sasa ile kuwacheki kina Raul, Zizou, Guti nk nikajikuta nakuwa mpenzi sana wa Madrid
Ila badala ya kuielewa asen8 nikajikuta naipenda man United nje ndani,
mpaka leo bado niko na hizo club sambamba kabisa
 
2b8fd793499b0f1762c1a07f8f0a1935.jpg

Messi quits international football
Chile win 4-2 shoot penalty
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom