Una mbwembwe km mbuziNatoka kidogo.. ila nikirudi lazima jukwaa liwake moto.. coz leo niko free
Nenda ukale BANNdo linapatikana wapi hilo na mimi nkajisajili?
Mambo......baaada ya kuwapiga fix ya kuhusu Fisi nimerudi tena...![]()
kiboko kabisaNguo kuchanikaItakuwa patashika.
Habari ndio hiyoHahahaaa.... Usitake ncheke mie.
Hahahahahaha ndo shida ya kubahatisha![]()
Heee..... Ni mimi nimetupia??
Hahahaaa.... Asante lakini maana sijui kama nimetupia.
Hii itakuwa kanda ya ziwa
Nahamu ya kuchokoza member yoyote hapaa...
Anayehitaji uchokozi au ubishi ajitokeze plzz![]()

Ni kweli kabisa maana mobile version haioneshi post number hahahaaa...Hahahahahaha ndo shida ya kubahatisha