Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,787
Sasa hapo ni pole ama hongera maana ile ndude ukiwa nayo ina karaha yake bhana...unaweza kumwagiwa hata maji ya moto ati kwa kuwa umekutwa umesimama na Yasinta wakati ulikuwa unamuuliza habari za shamba za matikiti maji huko bonde la mto mpiji!Pole sana braza.
ngoja nimfwate..
....
