Habar za usiku wakuu, baada ya maombi ya wadau kuwa top ten ya watu wafupi zaid duniani, nimeona ni bora nisicheleweshe ombi hilo
NB, picha hazija kaa sawa kwa sababu za kimtandao nawataka radhi kwa hilo
Number 10, Stacey Herald - 28 inches
Huyu yeye alizaliwa Kentucky , huko USA, na ana tatizp linaitwa osteogenesis imperfecta, ameolewa na mwana mazoez mmoja mwenye fut 5 na nchi sita
Kuanzia mwaka 2005 hadi 2009 alijifungua watt wa kike watatu
Wa wili wali rithi ugonjwa wake
Huyu mmoja ni mzima ana amshinda kulea kwa sababu anakua haraka kumzidi yeye
Number 9, Hatice Kocaman - 28 inches
Alizaliwa huko uturuki, ana mattzo ya ukuaji wa mifupa yaan genetic bone conditions, yeye anasema akiwa mdogo ali hate ufupi ila kwa sasa kwa kuwa ufupi unampa umaarufu anahis angekuwa mfupi zaid ingekuwa poa zaidi