Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
Usikimbie mkuu... TuvumilianeMbona tutakimbia forum!!!....ina maana nikianza kuzoza na Lizzy watu wanapanic mkuu???....ndiioo maana kuna member aliniita Licongo!!!....duh maajabu!!!![]()
![]()
Kwa taarifa yako mimi ni mtata kushinda unavyofikiria, hata nikifungiwa kwa akaunti hii nitafungua hata kumi zaidi ni lale sambamba na wewe roho. Watu wanaunga kuwa na nguvu wewe unasambaratisha watu, watu wanaingia humu wew unawafukuza kwa maneno ya ajabu hadi jf makapuku tunahesabiwa kama mapunguani flan, jichunguze wewe, kwanza futa jina langu kwenye listiSawa
.........
HaswaaaaaKila kitu kipo wazi
Mkuu hujaelewaMtu asietaka Utani asije kwenye uzi wenye Utani kuepuka kukerwa.
Be patient my dear... Pliz Jambilo... Wewe ni wangu sio wa mwingine...Nielewe kitu gani wew, ukitaka niripoti nifungiwe kama navunja taratibu. Moroses wew acha ravis sa kihaya, unatake uheshimiwe but kichwani ndo hivyo tend, kwa taarifa yako unaudhi wengi kushinda mimi, na kwa mwenendo huu utabaki na mkeo humu
Haya sasa majunguGoli moja tu. Tumewatoa kijasho
Dadangu huwa spend dharau na huwa napenda amani sana Lakini huyu dogo asiyekuwa na mbele wala nyuma kaniudhi haina mfanoKuwa na subira my X sweebaby... we are the same but not equal... Be patient... Kumbuka kuwa Patience anakupenda
Na kwako pia wiiUsiku mwema wapendwa
...............Kwa taarifa yako mimi ni mtata kushinda unavyofikiria, hata nikifungiwa kwa akaunti hii nitafungua hata kumi zaidi ni lale sambamba na wewe roho. Watu wanaunga kuwa na nguvu wewe unasambaratisha watu, watu wanaingia humu wew unawafukuza kwa maneno ya ajabu hadi jf makapuku tunahesabiwa kama mapunguani flan, jichunguze wewe, kwanza futa jina langu kwenye listi
Kwa ajili yako nanyamaza kwa mda nicheki upepo, thanks dadakeKuwa na subira my X sweebaby... we are the same but not equal... Be patient... Kumbuka kuwa Patience anakupenda
Hata mi naonaMchawi
Ndo ukweli huoHaya sasa majungu
Yuko nyanda za juu kusiniMapema namna hii
Pamoja sana