Makapuku Forum

Makapuku Forum

Habar za usiku wakuu, baada ya maombi ya wadau kuwa top ten ya watu wafupi zaid duniani, nimeona ni bora nisicheleweshe ombi hilo

NB, picha hazija kaa sawa kwa sababu za kimtandao nawataka radhi kwa hilo

Number 10, Stacey Herald - 28 inches
ee9304f6a96bba8c5338a10578c23bb1.jpg


Huyu yeye alizaliwa Kentucky , huko USA, na ana tatizp linaitwa osteogenesis imperfecta, ameolewa na mwana mazoez mmoja mwenye fut 5 na nchi sita
Kuanzia mwaka 2005 hadi 2009 alijifungua watt wa kike watatu
Wa wili wali rithi ugonjwa wake
Huyu mmoja ni mzima ana amshinda kulea kwa sababu anakua haraka kumzidi yeye

Number 9, Hatice Kocaman - 28 inches

203f2b2a1011e35878935fab4d1fc0d8.jpg


Alizaliwa huko uturuki, ana mattzo ya ukuaji wa mifupa yaan genetic bone conditions, yeye anasema akiwa mdogo ali hate ufupi ila kwa sasa kwa kuwa ufupi unampa umaarufu anahis angekuwa mfupi zaid ingekuwa poa zaidi
 
Habar za usiku wakuu, baada ya maombi ya wadau kuwa top ten ya watu wafupi zaid duniani, nimeona ni bora nisicheleweshe ombi hilo

NB, picha hazija kaa sawa kwa sababu za kimtandao nawataka radhi kwa hilo

Number 10, Stacey Herald - 28 inches
ee9304f6a96bba8c5338a10578c23bb1.jpg


Huyu yeye alizaliwa Kentucky , huko USA, na ana tatizp linaitwa osteogenesis imperfecta, ameolewa na mwana mazoez mmoja mwenye fut 5 na nchi sita
Kuanzia mwaka 2005 hadi 2009 alijifungua watt wa kike watatu
Wa wili wali rithi ugonjwa wake
Huyu mmoja ni mzima ana amshinda kulea kwa sababu anakua haraka kumzidi yeye

Number 9, Hatice Kocaman - 28 inches

203f2b2a1011e35878935fab4d1fc0d8.jpg


Alizaliwa huko uturuki, ana mattzo ya ukuaji wa mifupa yaan genetic bone conditions, yeye anasema akiwa mdogo ali hate ufupi ila kwa sasa kwa kuwa ufupi unampa umaarufu anahis angekuwa mfupi zaid ingekuwa poa zaidi
Bonge la somo
Endelea
............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom