EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Nipo
Za dsm bado haija fika zamu yake
Wameanzia katavi na kigoma na simiyu

Nipo
Za dsm bado haija fika zamu yake
Wameanzia katavi na kigoma na simiyu

Mkuu cm yangu kwako ni mtaji wa kulisha familia yakoSijui kwanini Simu yako haikuzimwa??? Jambilo swala LA kwanza kabisaa ni kumnunulia simu
OK
....

Yameisha nshaeleza chanzo mkuuAcha hizo bwana....dah
Hahahaaa....![]()
![]()
![]()
![]()
Katavi
Kigoma
Simiyu
Kama uko moja ya mikoa hiyo unaeza lala saaa
Nlikuwa natembeza likes kwanza kabla sijaquote..Jonax
![]()
Julia ni Waziri wa Kilimo wa Sudan Kusini akiwa na walinzi wake.
![]()
![]()
![]()
.........

Nimeona mkuuNlikuwa natembeza likes kwanza kabla sijaquote..
NIKO HAPAA SASA![]()
Mzma kakaHahahaha
Hatariiii

Aah!!! jambilo mashine mupiya nini??? Unachapiaje!!!Unahukumu usichokijua, nilikuwaga n'a tatizo n'a litige cha likes kwa cm hadi nitumie pc, nilipobadili cm hilo tatizo halipo, venu cheki likes fromage hapa juridique nyuma, kumbuka numéros likes 2300 kwa Siku 4, gawanya uone kwa Siku matos ngapi![]()
![]()

Nasikia kweli wamezima ila utagundua kama simu yako ni ni feki pale utakapoizima maana ukiiwasha itakuwa haiwaki.... Kwahiyo kuweni makini msizizime simu na hakikisha muda wote inakuwa na chaji
