sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Mkubalieee jamani.....mweeeh.....Jambilo uko vizuri.... Sijui nikukubalie
Mkubalie uwe shemdarling.... Nitakuletea sato Shem
Mkubalieee jamani.....mweeeh.....Jambilo uko vizuri.... Sijui nikukubalie
Kwenda huko.....fix tu data hazidanganyiSisemi yéyé anaziona, ninalike mwanzo mwisho, nakupenda rais wangu japo wewew wajijua
![]()
Km Mimi.....anyway sitaki tena demu wa Kitanga wana majanga nilichungulia tu nikaona shimo kubwa
........
aisee!
Mpenzi hata hizi likes ntakupaJambilo uko vizuri.... Sijui nikukubalie
Kweli mzawadie mpenzi au mwanaoMkuu hizi gari zinapendezea sana kutoa kama zawad siku ya birthday![]()
![]()
Unaenda wapi kweli?Mungu akijalia tutakutana tena

Sijui kwanini Simu yako haikuzimwa??? Jambilo swala LA kwanza kabisaa ni kumnunulia simuKwani hii unaiona wapi?
Acha hizo bwana....dahAngalia katoa like ngapi
Anaongoza kwa uchoyo
NIKO FAIR
..................
Trophy zinamanisha nn??? Kwann ziiwe sawa???Ni mabadiliko ya kawaida tu
...........
Angalia statistics.....simchukii mtuAcha hizo bwana....dah
Mpenzi wangu anapenda IST, ndo nachanga karata hapa nimzawadieKweli mzawadie mpenzi au mwanao
Unahukumu usichokijua, nilikuwaga n'a tatizo n'a kitufe cha likes kwa cm hadi nitumie pc, nilipobadili cm hilo tatizo halipo, tena cheki likes from hapa kurud nyuma, kumbuka nimetoa likes 2300 kwa Siku 4, gawanya uone kwa Siku 4 ngapiAngalia katoa like ngapi
Anaongoza kwa uchoyo
NIKO FAIR
..................

Google maana ya trophy points utaelewaTrophy zinamanisha nn??? Kwann ziiwe sawa???
Nimepona braza.Umepona au
Mimi ni agent wa befoward mkuu sitaniiMpenzi wangu anapenda IST, ndo nachanga karata hapa nimzawadie
Sikuchukii wala sina mabishano na ww.........Unahukumu usichokijua, nilikuwaga n'a tatizo n'a litige cha likes kwa cm hadi nitumie pc, nilipobadili cm hilo tatizo halipo, venu cheki likes fromage hapa juridique nyuma, kumbuka numéros likes 2300 kwa Siku 4, gawanya uone kwa Siku matos ngapi![]()
![]()
Usijali mkuu muda ukifika ntakutumia weweMimi ni agent wa befoward mkuu sitanii
Nami nimejibu kwa upendo tu kwani kuna ck Ulisema pia, nimekiri na hilo n'a nimejaribu kueleza chanzo cha tatizo mkuu wanguSikuchukii wala sina mabishano na ww.........
Nimesema km data zilivyo
Au ukweli unauma
Take Easy
................
OKNami nimejibu kwa upendo tu kwani kuna ck Ulisema pia, nimekiri na hilo n'a nimejaribu kueleza chanzo cha tatizo mkuu wangu