briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Ha ha ha haaa... Afu vya mwendo kasi kama vya jogoo teh tehUnapewaga viwili tu ck hizi![]()
![]()
![]()
Daah ndo maana umekonda kwa mawazoHa ha ha haaa... Afu vya mwendo kasi kama vya jogoo teh teh
Mkuu cm yangu kwako ni mtaji wa kulisha familia yako

ha ha haaa, nafanya diet bhanaaDaah ndo maana umekonda kwa mawazo
Mtambo nao ni fekiTCRA ni wazushi mi nina simu fake mbona hawajaizima sasa
Mie niko pouwa kabisa, sijui wewe!![]()
![]()
Mzima kaka
Yangu hata mlo mmoja wa familia ya kawaida (primary family) hazitoshi kulisha![]()
![]()
Simu yangu ni mtaji wa kulisha kuku.
![]()
Julia ni Waziri wa Kilimo wa Sudan Kusini akiwa na walinzi wake.
![]()
![]()
![]()
.........

Nimecheka kweli hii picha. Tisha sana
Bei ya simu yangu ni kwa Sumbai ni mtaji wa duka lake
Heee umefulia hadi ile HTC ya 1 ml nilokununulia umeuza, jamni mpenzi xxxYangu hata mlo mmoja wa familia ya kawaida (primary family) hazitoshi kulisha
Hatariii![]()
![]()
Mlevi avunjavunja simu baada ya TCRA kufanya yao
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
........
NilimfukuzagaNaona kaka mshana jr. tunamwondoa pale juu!!! Sijui kwanini hajagi tena huku![]()
Mambo vipi kaka.Nlikuwa natembeza likes kwanza kabla sijaquote..
NIKO HAPAA SASA![]()
Kwani sasa ulifanya hivyo?Nilimfukuzaga
Bia moja... Yeye yuko Hoi kuliko mimi