Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kweli hapo atalaumiwa mtumiaji lakini kwa upande mwingine wauzaji ni tatizo tusiseme tu kwa nini atumie tujiulize Kama wasingeuingiza nchini wangeutumia? Hata Kama kungekuwa na mateja lakini si kwa kiwango ambacho kiko sasa. Mbaya zaidi hawa ma drug delears ni watu wenye nyadhifa kubwa.
Hakuna kitu kama hicho.
Kwenye maisha sio kila kitu lazima ujaribu.
Kwani ingekuwa vipi kama wangeuza halafu wasipate wanunuzi je wangeendelea??

Na ikitokea ukajaribu basi ni lazima uwe tayari kwa matokeo ya action zako.

Kuiga kufata mkumbo ndo kunakoponza watu, hao wauzaji hawamlazimishi mtu kununua watu hununua kwa mapenzi yao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom