Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Jifariji tu wengine ndo walivyoNajua ng'ombe anayerusha mateke ana maziwa matamuu
Jifariji tu wengine ndo walivyoNajua ng'ombe anayerusha mateke ana maziwa matamuu
Ila Chid now anatakiwa asimamiwe nakuongozwa kama mtoto mdogo iliasije akajikwaa tenaNa hilo ndo la msingi kumuombea Mungu amuepushe maana swala la kuacha madawa ni maamuzi ya mtumiaji mwenyewe kwanza halafu wengine ndo wanaplay part yao.
Hahhahaha...... Hakyanan.....! AiseeeeMkuu nilishakuwa halisi, ufake kaondoka nae patience123![]()
![]()
Ohooo ya kale yamepita yaani kila ki tu kwangu ni saafi situmii magari ya kichina wala simu, kila kitu ojii
Huwezi wewe, patience123 nilimfukuza kwani hajatulia, huyu hatoki, nnmilikisha vyoteeeUkifanikiwa tutakuporaa tuu hahahahaa
Trust me or NOTNi kweli..
Lakini Chid bado cna imani naye..
Mungu amuepushe tuu
Nimesalimika,ila nimegundua hakuna cm iliozimwa na TCRAUmesalimika?
U mrembo LakiniJifariji tu wengine ndo walivyo

Mi nimemchoka nimeamua kuUNFOLLOW![]()
hapo sipo.. ila jamaa na yale mapozi yake ya Instagram yananiachaga najiuliza sanaaa..
Cjui wameshamfanya kuku mtamu?
Umri hauruhusuSi uokoke![]()
Sisi yetuTrust me or NOT
Baada ya km miezi 10 utasikia mengine.....nna uzoefu na mateja
............
tuu
Morn kaka Yake luluMorning
Utakuwa hujanisoma vizuri nimesema hata hao watumiaji ni tatizo Lakini tatizo kubwa pia lipo kwa hao drug dealers.Kwahiyo sisi ambao hatunusi Ungabu hatujui unapouzwa?
Mfano kitaani kwangu wadhikaji zangu wa zamani 80% wanakula unga lkn Bitoz najitambua na sijawahi onja hiyo kitu
Huwezi sema watengenezaji wa pombe au gongo walaumiwe kisa walevi wanakufa ,pia mbona watu wanasex kinyumenyume na wengine hawafanyi ?
Uamuzi wa maisha yako upo mikononi mwako cha msingi uwe na msimamo hata km unaonekana mshamba
Y.O.L.O
...............
Yule mpuuzi kabisa..siyo kwa mapozi yale aiseeMi nimemchoka nimeamua kuUNFOLLOW
![]()
![]()
![]()
![]()
.........
Hapana aiseee jina kwangu linamata Sana.Jamn jina la nini???acha maganda kula muwa mpenzii
![]()
![]()
![]()
![]()
Kabisa maana wakimuacha kidogo tu atarudi kulekuleIla Chid now anatakiwa asimamiwe nakuongozwa kama mtoto mdogo iliasije akajikwaa tena
Kabisa mtambo wao wenyewe ni fekiNimesalimika,ila nimegundua hakuna cm iliozimwa na TCRA