Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Miss you more cuzzoMiss you cuzoo
Miss you more cuzzoMiss you cuzoo
Fuata mkumbo upasuke utumboNi kweli lakini still sitawapenda wauza unga
Penda dadakePamoja sana fake pastor
AmenUbarikiwe hadi ushangae dadake
Yani kila kitu feki utakuta hata roho zao wenyewe ni fekiNi shida kubwa

Hata watumiaji pia ni majipu......Unga hapo anasaidiwa na polisi lakini anasema anatekwa.wauza unga wabaya Sana nawachukia kutoka moyoni.
KunaAtajiju
Ujanja ukizidi ni ujinga
Yachezee maisha yako ...upauke hadi matako
Y.O.L.O
![]()
![]()
![]()
![]()
...........
Atajiju
Ujanja ukizidi ni ujinga
Yachezee maisha yako ...upauke hadi matako
Y.O.L.O
![]()
![]()
![]()
![]()
...........
Maisha hayaa

Roho pure ila miili fakeYani kila kitu feki utakuta hata roho zao wenyewe ni feki![]()
![]()
![]()
Jimena tetea kakako upwekeee jamniCuzoo na mimi nashangaa maana sielewi elewi hii couple imeanza lini![]()
![]()
![]()
Vipi anafaa kuwa shemeji yako??

Mi naukubali muziki wake tu....mengine namwachia mwenyewe sijipi stress za bureAnatia huruma sana
Kweli hapo atalaumiwa mtumiaji lakini kwa upande mwingine wauzaji ni tatizo tusiseme tu kwa nini atumie tujiulize Kama wasingeuingiza nchini wangeutumia? Hata Kama kungekuwa na mateja lakini si kwa kiwango ambacho kiko sasa. Mbaya zaidi hawa ma drug delears ni watu wenye nyadhifa kubwa.Fuata mkumbo upasuke utumbo
![]()
![]()
![]()
![]()
..........
Umeamua jambo jema.Mi naukubali muziki wake tu....mengine namwachia mwenyewe sijipi stress za bure
..........
Sasa nashindwa kuelewa huyu amekaa sober zaidi ya miezi sita bado hajaacha..Kabisa mkuu. Najaribu kuimagine mama yake anajisikiaje? Hakika wazazi tunaumia Sana.![]()
![]()
![]()

Yani unaitwa fake pastor then unataka tuwe mwili mmojaPanda dadake
MorningMorning all
Chidi yuko kwenye uangalizi mzuri Sana ray c baada ya kutoka sober house alikuwa na Uhuru Sana.halafu chidi hakuathirika Kama ray c.Sasa nashindwa kuelewa huyu amekaa sober zaidi ya miezi sita bado hajaacha..
Je yule wa kiume(Chid) aliyekaa sober siku 28 atawezaje kuacha au ndo maigizo??..
![]()
![]()
![]()
![]()