Makapuku Forum

Makapuku Forum

6043fee5093f50566bee2c5e9eb88b86.jpg
Maisha hayaa
 
Fuata mkumbo upasuke utumbo

..........
Kweli hapo atalaumiwa mtumiaji lakini kwa upande mwingine wauzaji ni tatizo tusiseme tu kwa nini atumie tujiulize Kama wasingeuingiza nchini wangeutumia? Hata Kama kungekuwa na mateja lakini si kwa kiwango ambacho kiko sasa. Mbaya zaidi hawa ma drug delears ni watu wenye nyadhifa kubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom