Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Usimpe huyooo....atamharibu tuuNikupe mdogo wangu shem... Ila uwe na pesa ndefu,yeye kwake mapenzi ni pesa
Wanaume makini hawajui kuhonga.....Tatizo lako mbahili Sana Kama unatoka kule milimani bhana![]()
![]()
![]()
Kachezea bahati kabisaa ngoja awe Prado sasaHakutaki tena...![]()
![]()
umechezea bahati.
KabisaaaAtaishia kuwaita shemeji
Kula raha my Wii maisha yenyewe mafupi. Acha jambilo ajidai hazitaki mbichi kumbe anakauka koo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Asante kaka, hata mimi niliwamiss sana. Tuwe pamoja Makapuku.Nlikukumbuka saaana kiongozi....
Anafahamu jinsi ya kuituliza....dah much love.....Unataka utusumbue tena na presha yako Leo. Mwembie WiFi patience akuandalie kabisa ambulance
Acha mwenzio ajishindieUsimpe huyooo....atamharibu tuu
Ha haaaa utakosa mambo mengi sanaWanaume makini hawajui kuhonga.....
SweetheartNdiyo
Nikose tu.Ha haaaa utakosa mambo mengi sana
Kauachia wazi...Kafunga mdomo??
You see!!
Hamtoboi mkuuHa Haaaa ushindwee ulimi wako...tutashinda nakuapia
MzeeUsimpe huyooo....atamharibu tuu