EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Karibu Mkuu.JF Makapuku 🙂🙂
Karibu Mkuu.JF Makapuku 🙂🙂
Nlikukumbuka saaana kiongozi....Habari nzuri kaka. Asante kwa kunimiss hata mie nilimiss uwepo wako kwangu. Nimerudi rasmi, tuwe pamoja kaka.
Asante kaka.
Mzima mamy, Nala raha na sumbaiMzima mamy
Uliza sasa bei ya hiyo koti?![]()
A Kongoman
.............
nipo sumbawanga yani usije ukajaribu kucheza na mimi maana nitamuambia Bibi yangu

Mkuu vip kapukuHapo nimekupata mkuu, ila mie niliandika rabaeka kwa maana nimeitikia wito
Nishakimbia, si unajua mzoea vya kuchinja, vya kunyonga haviwezi.Poa mkuu,umeishaikimbia baridi ya lushoto?
Kama vipi fanya basi mpango hawa jamaa wasizime hizi simu zetu.nipo sumbawanga yani usije ukajaribu kucheza na mimi maana nitamuambia Bibi yangu![]()
![]()
![]()
![]()
Uwiii lugha ya kuja na meli ni tatizoMKE: Mme wangu, hivi kumvalisha nepi mtoto kwa kingereza wanasemaje?
MME: Duh kweli nimeoa mke ******, unashindwa hata hio?
Mke: Jamani basi mwenzangu kipanga unaejua ngeli niambie.
MME: Yani unashindwa kusema "Kidnapping"
![]()
AiseeMzima mamy, Nala raha na sumbai
duuh...MKE: Mme wangu, hivi kumvalisha nepi mtoto kwa kingereza wanasemaje?
MME: Duh kweli nimeoa mke ******, unashindwa hata hio?
Mke: Jamani basi mwenzangu kipanga unaejua ngeli niambie.
MME: Yani unashindwa kusema "Kidnapping"
![]()
Amani iwe naweLe famile, amani iwe nanyi![]()
Welcome kijanaJF Makapuku 🙂🙂
Huyu atakuwa mchungaji.MKE: Mme wangu, hivi kumvalisha nepi mtoto kwa kingereza wanasemaje?
MME: Duh kweli nimeoa mke ******, unashindwa hata hio?
Mke: Jamani basi mwenzangu kipanga unaejua ngeli niambie.
MME: Yani unashindwa kusema "Kidnapping"
![]()
NdiyoAisee
Sh 500/ yy atasema ni 100000Uliza sasa bei ya hiyo koti?