Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Kupeana ulaji tuMakocha wa Kizungu samtaimu magumashi ....kumbuka Kocha wa Yanga nae aliwahi kulibeba garasa JAJA wkt kule kwao hachezi soka analima tu viazi
![]()
![]()
![]()
........
Kupeana ulaji tuMakocha wa Kizungu samtaimu magumashi ....kumbuka Kocha wa Yanga nae aliwahi kulibeba garasa JAJA wkt kule kwao hachezi soka analima tu viazi
![]()
![]()
![]()
........
Tatizo wao waliahidiwaNasikia kichefuchefu sikujua km walimu vichwa maji kiasi hiki ....wenzao tumekaa miaka kibao bila ajira wao ht mwaka bado full makelele
Wakalime matikiti wasitusumbue
![]()
![]()
![]()
![]()
......
Sisi au?![]()
Aliyesahau viatu vyake aje kuchukua fasta kabla sijavichoma moto
Nahisi ni vya wale walimu couple
![]()
![]()
![]()
........
Tatizo wanaona wao ndo wa kipaumbele sana kuliko wengine.Nasikia kichefuchefu sikujua km walimu vichwa maji kiasi hiki ....wenzao tumekaa miaka kibao bila ajira wao ht mwaka bado full makelele
Wakalime matikiti wasitusumbue
![]()
![]()
![]()
![]()
......
HaiwezekaniHa haa... Haiwezekan awaahidi watu alafu awatosee

Achana bao naona aibu kuwajadiliTatizo wao waliahidiwa
Hahaa sisi mbona tumeajiriwa tayari.UMOJA WA WAALIMU WASIO NA AJIRA TANZANIA
S.L.P 4567
TANZANIA.
KWA RAIS WA JUMUHURI YA MUUNGANO WA TAZANIA,
S.L.P..........
TANZANIA
KK
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA,
S.L.P ........
DODOMA.
Ndg,
YAH:WITO WA KUMTAKA NAIBU WAZIRI TAMISEMI KUJIUZURU.
Tafadhari husika na mada tajwa hapo juu.sisi umoja wa walimu wasio na ajira Tanzania tunamtaka naibu waziri tamisemi MH.SULEIMAN JAFO kujiudhuru nafasi yake kutokana na kusema uongo bungeni juu ya ajira za waalimu kutoka mwez mei katika hotuba yake.
Dhumuni la barua hii ni kumtaka mh jafo kuachia ngaz mara moja kutokana na kudanganya waalimu wanaosubiri ajira zaid ya mara mbili.katika hotuba yake hivi karibuni alidai ajira hizo zitatoka mwez mei lakn mpaka sasa ajira hizo azijatoka na kufanya baadhi ya waalimu wanaosubir ajira kuacha ajira zao za muda wakijua mwezi mei ajira hizo zitatoka.
Natumai maombi yetu yatafanyiwa kazimara moja .
kwa niaba ya umoja wa walimu wasio na ajira tanzania
wako ROHAN HASAN MWIJEGA
Cc Th Name na mke wake....
Yaani natamani ht kuwatusi....wenzao hupiga ishu za kuungaunga ht 5 yes bila ajiraTatizo wanaona wao ndo wa kipaumbele sana kuliko wengine.
Mbona kuna shughuli nyingi za kufanya tu. Wawe wapole tu mwaka. Kama zipo wataambiwa
Bitoz umetuandama
Hahaaa sisi tumeunganishwa na damu. Haiwezekani kuachana.Nataka muachane...nikuchukue
![]()
![]()
![]()
![]()
........
Serikali ndo imewaahidi.Yaani natamani ht kuwatusi....wenzao hupiga ishu za kuungaunga ht 5 yes bila ajira
Wao miezi 6 tu kitaa full domokaya
........
UMOJA WA WAALIMU WASIO NA AJIRA TANZANIA
S.L.P 4567
TANZANIA.
KWA RAIS WA JUMUHURI YA MUUNGANO WA TAZANIA,
S.L.P..........
TANZANIA
KK
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA,
S.L.P ........
DODOMA.
Ndg,
YAH:WITO WA KUMTAKA NAIBU WAZIRI TAMISEMI KUJIUZURU.
Tafadhari husika na mada tajwa hapo juu.sisi umoja wa walimu wasio na ajira Tanzania tunamtaka naibu waziri tamisemi MH.SULEIMAN JAFO kujiudhuru nafasi yake kutokana na kusema uongo bungeni juu ya ajira za waalimu kutoka mwez mei katika hotuba yake.
Dhumuni la barua hii ni kumtaka mh jafo kuachia ngaz mara moja kutokana na kudanganya waalimu wanaosubiri ajira zaid ya mara mbili.katika hotuba yake hivi karibuni alidai ajira hizo zitatoka mwez mei lakn mpaka sasa ajira hizo azijatoka na kufanya baadhi ya waalimu wanaosubir ajira kuacha ajira zao za muda wakijua mwezi mei ajira hizo zitatoka.
Natumai maombi yetu yatafanyiwa kazimara moja .
kwa niaba ya umoja wa walimu wasio na ajira tanzania
wako ROHAN HASAN MWIJEGA
Cc Th Name na mke wake....
