Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahah haki yao bhana sababu waliahidiwa

Mtaani pagumu sana
1afaecaab90305f3d659fa02efb1771a.jpg


.........
 
Mkuu mbona huelewi
Ht wangeitwa 17 bado anastahili kuwepo kumbuka MPIRA HAUCHEZWI CHUMBANI.....labda use me tu haelewani na kocha ndo nitakuelewa
RIGHT ?
..........
Nakuelewa ila wewe hunielewi mimi

Kuna kuachwa na kulalamika ukiachwa

Nampinga anavo mind, hakuna sheria inayo mlazimisha kocha aite mtu

Aache kubwata, ndo nikasema kina ben arfa wameachwa na wame cool tuu

My point is aache kelele akale bata si lazma aitwe yeye

Kocha ndo ana amua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom