Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Heee si nasikia hakuna simu iliyofungiwaHahaha hataree
Nmetoka tcra walifungia simu yangu ki makosa
Sijui mpaka tarehe 16
Heee si nasikia hakuna simu iliyofungiwaHahaha hataree
Nmetoka tcra walifungia simu yangu ki makosa
Sijasema hastahiliMkuu kuna wachezaji wana bifu na kocha .....hapo dawa
Tatizo kwa Drinkwater tunaongelea kiwango chake ANASTAHILI KUWEPO PALE....Tuache uchambuzi maandazi
........
Kwanza walikuwa wajeuri kitaaniMna tofauti wenzio walisoma wakijua ahira yao mwezi wa pili, zaid sana mwez wa nne
Wana karibia mwaka hapo wana pigwa kalenda, lazma walalamike
AaaahHeee si nasikia hakuna simu iliyofungiwa![]()
![]()
![]()
Sijui mpaka tarehe 16
Kwanza walikuwa wajeuri kitaani
Mi naona wapotezewe hadi mwakani ili tuheshimiane
Wana nyodo km maembe dodo
![]()
![]()
![]()
![]()
.......

Kwahiyo ni kweli kuwa kuna simu zimefungwa?Aaaah
Walinifungia wamenifungua now
Hahahah haki yao bhana sababu waliahidiwaNdo tuheshimiane
![]()
![]()
![]()
......
NadhaniKwahiyo ni kweli kuwa kuna simu zimefungwa?
Mkuu mbona huelewiSijasema hastahili
Ila kama hajaitwa atulie kimya, asubir zamu yake, kelele za nini
Watu mko mamilion wanitwa 23 ukiachwa una kausha tuu
Hahahah haki yao bhana sababu waliahidiwa
Mtaani pagumu sana
Nakuelewa ila wewe hunielewi mimiMkuu mbona huelewi![]()
Ht wangeitwa 17 bado anastahili kuwepo kumbuka MPIRA HAUCHEZWI CHUMBANI.....labda use me tu haelewani na kocha ndo nitakuelewa
RIGHT ?
..........
OKNakuelewa ila wewe hunielewi mimi
Kuna kuachwa na kulalamika ukiachwa
Nampinga anavo mind, hakuna sheria inayo mlazimisha kocha aite mtu
Aache kubwata, ndo nikasema kina ben arfa wameachwa na wame cool tuu
My point is aache kelele akale bata si lazma aitwe yeye
Kocha ndo ana amua
Asante prezdaOK
.....
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.........
Asante prezda
Usiye na ikulu lakin
Hahahah
Hahaha![]()
Ikulu sio lazima iwe nyeupe
![]()
![]()
![]()
![]()
.........