Makapuku Forum

Makapuku Forum

fa1ccaa1cd026d3f9f2917c4104de31c.jpg
Hahahaaaa jamani.
 
Nasikia kichefuchefu sikujua km walimu vichwa maji kiasi hiki ....wenzao tumekaa miaka kibao bila ajira wao ht mwaka bado full makelele
Wakalime matikiti wasitusumbue

......
Mna tofauti wenzio walisoma wakijua ahira yao mwezi wa pili, zaid sana mwez wa nne

Wana karibia mwaka hapo wana pigwa kalenda, lazma walalamike
 
Sasa we jifanye unajua mpira kuliko kocha wa england

Timu ya taifa wanitwa watu ambao kocha ana panga

Ben arfa na lacazette wameachwa ufaransa

Hayo mambo yapo
Mkuu kuna wachezaji wana bifu na kocha .....hapo sawa

Tatizo kwa Drinkwater tunaongelea kiwango chake ANASTAHILI KUWEPO PALE....Tuache uchambuzi maandazi
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom