Makapuku Forum

Makapuku Forum

UMOJA WA WAALIMU WASIO NA AJIRA TANZANIA
S.L.P 4567
TANZANIA.

KWA RAIS WA JUMUHURI YA MUUNGANO WA TAZANIA,
S.L.P..........
TANZANIA

KK
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA,
S.L.P ........
DODOMA.

Ndg,
YAH:WITO WA KUMTAKA NAIBU WAZIRI TAMISEMI KUJIUZURU.
Tafadhari husika na mada tajwa hapo juu.sisi umoja wa walimu wasio na ajira Tanzania tunamtaka naibu waziri tamisemi MH.SULEIMAN JAFO kujiudhuru nafasi yake kutokana na kusema uongo bungeni juu ya ajira za waalimu kutoka mwez mei katika hotuba yake.
Dhumuni la barua hii ni kumtaka mh jafo kuachia ngaz mara moja kutokana na kudanganya waalimu wanaosubiri ajira zaid ya mara mbili.katika hotuba yake hivi karibuni alidai ajira hizo zitatoka mwez mei lakn mpaka sasa ajira hizo azijatoka na kufanya baadhi ya waalimu wanaosubir ajira kuacha ajira zao za muda wakijua mwezi mei ajira hizo zitatoka.
Natumai maombi yetu yatafanyiwa kazimara moja .
kwa niaba ya umoja wa walimu wasio na ajira tanzania
wako ROHAN HASAN MWIJEGA

Cc Th Name na mke wake....
Hahahaha ndo mnatuandama hivi. Sasa inatakiwa walimu waombe ajira kama wengine wanavyoomba.

Ajira mwezi wa saba hapo zinatoka wewe
 
f02d4275fa04eec3c6cb863d3a20c743.jpg
ndizi za mwendo kasi hizo
408aa2a1730275f71a951d50a90cc403.jpg

Too much.....kila kitu mwendokasi msilete mbupu za mwendokasi waungwana

.......
 
UMOJA WA WAALIMU WASIO NA AJIRA TANZANIA
S.L.P 4567
TANZANIA.

KWA RAIS WA JUMUHURI YA MUUNGANO WA TAZANIA,
S.L.P..........
TANZANIA

KK
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA,
S.L.P ........
DODOMA.

Ndg,
YAH:WITO WA KUMTAKA NAIBU WAZIRI TAMISEMI KUJIUZURU.
Tafadhari husika na mada tajwa hapo juu.sisi umoja wa walimu wasio na ajira Tanzania tunamtaka naibu waziri tamisemi MH.SULEIMAN JAFO kujiudhuru nafasi yake kutokana na kusema uongo bungeni juu ya ajira za waalimu kutoka mwez mei katika hotuba yake.
Dhumuni la barua hii ni kumtaka mh jafo kuachia ngaz mara moja kutokana na kudanganya waalimu wanaosubiri ajira zaid ya mara mbili.katika hotuba yake hivi karibuni alidai ajira hizo zitatoka mwez mei lakn mpaka sasa ajira hizo azijatoka na kufanya baadhi ya waalimu wanaosubir ajira kuacha ajira zao za muda wakijua mwezi mei ajira hizo zitatoka.
Natumai maombi yetu yatafanyiwa kazimara moja .
kwa niaba ya umoja wa walimu wasio na ajira tanzania
wako ROHAN HASAN MWIJEGA

Cc Th Name na mke wake....
Huu sasa ujinga kuna watu rundo tumehitimu vyuo miaka kibao bila ajira......wao wana uhakika wa ajira lkn kuchelewa kidogo TU full povu
THAT'S WAPUUZI
............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom