Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Obey mi naishia kupita tu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Na mi nimejua si kosa lake
Teh teh si kweliiiiObey mi naishia kupita tu
Weka picha

Kwetu ni Sitimbi sasa haiwezekani niseme kwetu masakiHahahaa
Kukaa sitimbi si sifa njema
Furahia kwenu Masaki Lady
Daaah!!!Kuelekea 01/6/2016.
"SIMU FEKI KUZIMWA"
SHAIRI LA KUWAAGA BAADHI YA WADAU WA FORUM HII
Twahuzunika kwakweli,
Makamanda wa ukweli,
Kwa kuwaaga kwaheli,
Nunua nyingine rudi.
Hiyo ni kama ajali,
Simu yako si halali,
Kuwa nayo si kibali,
Nunua nyingine rudi.
Inaumiza ni kweli, gharama kuikabili,
Simu yako kubadili,
Nunua nyingine rudi.
Hii ndyo serikali,
Meamua kukatili,
Simu ziso na kibali,
Nunua nyingine rudi.
Twakuhitaji kwakweli,
Kwenye kundi letu hili,
Twaliona pengo hili,
Nunua nyingine rudi.
Ndg wala usijali,
Simu yako kubadili,
Mana si la kujadili,
Nunua nyingine rudi.
Huwezi kupinga hili,
Ni lazima ukubali,
Mana meshika makali,
Nunua nyingine rudi.
Mpendwa kila lakheri,
Kwa ya dukani safari,
Simu feki ni hatari,
UNAWEZA KUZIMIA...
Ala kumbe! Naomba formula ili nisikosee tenaa daima.Jibu ni 36 mkuu.
Pole sheikh![]()
Nguzo ya umeme imedondokea reli Buguruni so nimeshukia hapo
Nimechoka mbaya
........
Tunasema tu na kupost ila ukiwa nayo feki inaumaa, na usawa huu.Daaah!!!
Ndo tuna malizia malzia sasa
na usumbufu wa hali ya juuBora ulivyoacha kuvaa, mambo ya hesabu ni kero
kumbe mimi ndio nililala sana...sorryHapana, niliamka kitambo na magazeti nilishaweka
Kabisa...Huyo baba afungwe
wapi mkuu?Umenikumbusha mbali mkurugenzi![]()
Pole mkuu,![]()
Nguzo ya umeme imedondokea reli Buguruni so nimeshukia hapo
Nimechoka mbaya
........
Daaah.....Kuelekea 01/6/2016.
"SIMU FEKI KUZIMWA"
SHAIRI LA KUWAAGA BAADHI YA WADAU WA FORUM HII
Twahuzunika kwakweli,
Makamanda wa ukweli,
Kwa kuwaaga kwaheli,
Nunua nyingine rudi.
Hiyo ni kama ajali,
Simu yako si halali,
Kuwa nayo si kibali,
Nunua nyingine rudi.
Inaumiza ni kweli, gharama kuikabili,
Simu yako kubadili,
Nunua nyingine rudi.
Hii ndyo serikali,
Meamua kukatili,
Simu ziso na kibali,
Nunua nyingine rudi.
Twakuhitaji kwakweli,
Kwenye kundi letu hili,
Twaliona pengo hili,
Nunua nyingine rudi.
Ndg wala usijali,
Simu yako kubadili,
Mana si la kujadili,
Nunua nyingine rudi.
Huwezi kupinga hili,
Ni lazima ukubali,
Mana meshika makali,
Nunua nyingine rudi.
Mpendwa kila lakheri,
Kwa ya dukani safari,
Simu feki ni hatari,
UNAWEZA KUZIMIA...