Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Lakini nina FURAHAHahahaha
Ina onekana maisha yako yamekuwa magum sana mkuu
..........
Lakini nina FURAHAHahahaha
Ina onekana maisha yako yamekuwa magum sana mkuu
Nipo hapa KitunguuNipo mimi nyanya yenu wengine wapo kazini. Chezea matapu tapu wee.
Hahahahah ni kweli kabisa ndugu yangu.. Salamu zitafika na wewe msalimie sana Shem wanguMsalimie sana. Si unajua tena kaka kusalimia wazazi ni muhimu sana
La msingi kufika salama TU
Matajiri kwa dharauHapa sasa umeongea ukweli
Umenikumbusha mbali mkurugenzi

Salamu zitafika kakaHahahahah ni kweli kabisa ndugu yangu.. Salamu zitafika na wewe msalimie sana Shem wangu
Haya sasa matusi ya reja rejaMatajiri kwa dharau
Utafikiri rangi ya zambarau
![]()
![]()
![]()
![]()
..........
Goli ngapi???Huyo baba afungwe

Miaka 25Goli ngapi???![]()
FuluZa Tuesday humu ndani
Jibu ni 36 mkuu.Nakupaaaa hebu subiri, nakupa Ludewa au Mtama Lindi. Miji mikubwa ni aghali kuishi.
Mwalimu aliyekosa hesabu na yeye anakosesha majibu sahihi.TWe ndo mwalimu???
Kwa kosa gani???Miaka 25
Basi sawaFulu
Basi sawa
