Athante thana mkuu kwa magatheti bhana.
Muone cha pombee![]()
![]()
![]()
saizi??? ....bado! Waiter Lite ya mouto tafadali
KaribuAthante thana mkuu kwa magatheti bhana.
Wapi wewee, wakati umeachwa..
Njoo kwenye chama chetu tu cha CHAPUTA..
Ili wapangaji wateleze bafuni

nimekuelew
Hahaaa....Inabidi niombe usajiri mkuu, ila inabidi vijana wa CHAPUTA wapewe semina elekezi kwanza,unajua si poa kabisa kutelezesha watu bafuni,kama vipi vijana watengenezewe socks* maalumu kwa kazi hiyo......