We acha tuuAisee.
Binadamu wabaya sana.
Yani kuna siku nimeenda maeneo ya *Lakasachika* kuna vyura wanachezea maji ni balaa.Ha Haaaa CHumbageni dah nimepamiss saaana.....
Fanya kutembea tembea pale raskazone, maktba pale upunge upepo mchana....
Usisahau barabara ya kumi pale kuna pweza saafi saaana
TangaAisee.
Umemtoa wapi huyu.
Tutayafanya wakati wa ujauzito.![]()
Kina Lizzy fanyeni mazoezi
.........
Youngblood na uyoung wake nilijua tu hataweza kumuhudumia yule..Ha haaa nahrene alishamwachaa hajui kulea
Lizzie ni balaa.Ina maana dada LIZZY ni mzuri kuliko huyu mrembo?
View attachment 351197
Tanga
tanga hiiii jaman na nyie namtafuta mwalim wang jaman anaitwa AMAZING na wiki kathaaaKwani BABe ni kitugani? Maana naona na huyO hapo kwenye picha anajiita BABESio huyu
Ni mzuri, zaidi ya huyoIna maana dada LIZZY ni mzuri kuliko huyu mrembo?
View attachment 351197
Nitupie namba yake PM mkuu.Tanga
Nimeamua kuacha mwenyewe.Youngblood na uyoung wake nilijua tu hataweza kumuhudumia yule..
T.a kwa damu changa!!!Mkuu Hiyo kitu ya Kongo au????
Unajikuta mke ni wako halafu unaingia jela mwenyew bila kupenda akiangua anajifungua bila UCHUNGU![]()
Utaua kifaranga
![]()
![]()
![]()
........
Muweke hapa ni contrast na kucompare, ila mimi naamini huyo mrembo ni OVERALLLizzie ni balaa.
Usilinganishe vitu vya ajabuajabu na shemeji yangu Lizzie.
Atafanya na brother.![]()
Utaua kifaranga
![]()
![]()
![]()
........
Wewe mpenzi wako unamuitaje?Kwani BABe ni kitugani? Maana naona na huyO hapo kwenye picha anajiita BABE