EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,417
Umeokoka?Muone cha pombee
Eeh... Nawe uokokeUmeokoka?
3=12Tujaribu kuchemsha akili asubuhi hii kwa jedwali hili rahisi, Niko na jibu mkononi hapa kwa hiyo atakaye patia nitampa zawadi yake, Karibuni wote.
View attachment 351312
Hahahaaa...Unazo ngapi unipe hata tano!
Anaitwa hivyo huko kwenu kijijini??baby ni mtoto

Naomba uje kuniombea leo.Eeh... Nawe uokoke
Nitamtuma mshana aje akuombeeNaomba uje kuniombea leo.
Hajaokoka yule Mpare, naomba huduma yako leo usiku.Nitamtuma mshana aje akuombee
Dada habariEeh... Nawe uokoke
Basi nitakuja na Ngabu tukufanyie maombezi hayoHajaokoka yule Mpare, naomba huduma yako leo usiku.
Shikamoo kakaDada habari
nitamletaHajaokoka yule Mpare, naomba huduma yako leo usiku.
Hahaha marhaba dada..nimekumissShikamoo kaka
Ngabu yuko usa babyBasi nitakuja na Ngabu tukufanyie maombezi hayo

Sukari inatuzungusha my kaksHahaha marhaba dada..nimekumiss
Akuye alonenitamleta

He hee niko nae hapa. Tutakuja usikondeNgabu yuko usa baby![]()
Uje usisahau I will be waiting![]()