Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni sawa lakini kama madawati pekee bila watu kutambua umuhimu wa elimu hayatasidia kijiji kuendelea ,sasa kama wanakijiji wanashinda kwenye urabu hayo madawati yatakuwa na kazi gani.
Yani kuna baadhi ya vijiji Tanzania mtu haoni faida kabisa ya kumpeleka mtoto shule so hata kama ukipeleka masofa badala ya madawati hawatasoma ng'o, kwasababu hawajui nini faida ya kusoma.
Wanaosoma ni watoto sio wazazi, makosa ya mzazi yasifanye ukamhukumu mtoto asie na hatia,

Shule ziwekwe madawati, ubao uwe mzuri na walimu wenye taaluma hayo ndo majukumu ya serikali,
 
Wanaosoma ni watoto sio wazazi, makosa ya mzazi yasifanye ukamhukumu mtoto asie na hatia,

Shule ziwekwe madawati, ubao uwe mzuri na walimu wenye taaluma hayo ndo majukumu ya serikali,
Wazazi wengine hawaoni faida ya kumpeleka mtoto shule.
Wengine wanafika mbali kabisa na kuamua kuwafungisha ndoa.

Unapozungumzia maisha ya mtoto lazima wazazi watahusika tu.
 
Back
Top Bottom