Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ipo Zambia ni maporomoko mazuri sana japo pia ukiwa upande wa zimbabwe unaeza kuyaona ila sisi tutaenda Zambia tukae siku mbili, kisha twende visiwa vya seychelles tukaimalizie valentine yetu.
....akikataa hii offer, mtafute Lee akutafutie mganga. Maana ndiyo mbinu pekee ambayo itakuwa imebaki, nikiongea kwa uzoefu. Seychelles mtahitaji muda wa kuplan, maana usafiri wake ni wa kuungaunga, mnaweza jikuta Ethiopia
 
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom