Ja aha hahahaha. Hajakosea hata kidogo, mimi ni kijana ila kwa kuwa nna mambo za kizee basi humu huwa wananiona mzee.
Kumbe anakuzeesha tu huyu🤣 mwache tu ajidai nina deni naye!Wel! Mimi ni kijana ila nna mambo ya kizee sana. Hapo ongeya naye ili ile heart break uliyompatia uimend na mwaka 2026 usijesema hauna bahati
Dahh ss kijana wanakuzeeshaje utapishana na fursa ohoo😆Ja aha hahahaha. Hajakosea hata kidogo, mimi ni kijana ila kwa kuwa nna mambo za kizee basi humu huwa wananiona mzee.
Anahamisha magoli, ile ndoo ya samaki akaamua kabisa kuikaanga pale Kirumba sokoni ili upate samaki wa foili.Kumbe anakuzeesha tu huyu🤣 mwache tu ajidai nina deni naye!
Itakuwa kuna binti alituzidi kete huko haiwezekani apotee tu na hiyo ndoo🤣💔Anahamisha magoli, ile ndoo ya samaki akaamua kabisa kuikaanga pale Kirumba sokoni ili upate samaki wa foili.
Ni mzee wa kitambo sana, mwaka huu anapokea kiinua mgongo chake ndio maana nataka uwe karibu yake 😅
Weee sema kweli😅 hebu fanya kweli tupate chochote kitu😆Ni mzee wa kitambo sana, mwaka huu anapokea kiinua mgongo chake ndio maana nataka uwe karibu yake 😅
Hahahaa aje na ndoo kabisa ntampakulia minyama mingi mingi apeleke na nyumbani🤣
...umesahau na mambo ya stakabadhi ghalani. Korosho mwaka jana ilikubali, mbuzi walikunywa soda na bodaboda zilibeba samaki. Sasa ndiyo utajua mafao yakitoka nihame mji au ninunue mjiNi mzee wa kitambo sana, mwaka huu anapokea kiinua mgongo chake ndio maana nataka uwe karibu yake 😅
Nunua mji baba😂...umesahau na mambo ya stakabadhi ghalani. Korosho mwaka jana ilikubali, mbuzi walikunywa soda na bodaboda zilibeba samaki. Sasa ndiyo utajua mafao yakitoka nihame mji au ninunue mji
Ipo Zambia ni maporomoko mazuri sana japo pia ukiwa upande wa zimbabwe unaeza kuyaona ila sisi tutaenda Zambia tukae siku mbili, kisha twende visiwa vya seychelles tukaimalizie valentine yetu.Ipo ndio, devils pool huko ni wapi poker?
....akikataa hii offer, mtafute Lee akutafutie mganga. Maana ndiyo mbinu pekee ambayo itakuwa imebaki, nikiongea kwa uzoefu. Seychelles mtahitaji muda wa kuplan, maana usafiri wake ni wa kuungaunga, mnaweza jikuta EthiopiaIpo Zambia ni maporomoko mazuri sana japo pia ukiwa upande wa zimbabwe unaeza kuyaona ila sisi tutaenda Zambia tukae siku mbili, kisha twende visiwa vya seychelles tukaimalizie valentine yetu.
www.instagram.com