Mzima kabisaaMr Lee mzimàa
Chombo hicho kinaitwa Titan, kinamilikiwa na kampuni ya Ocean Gate, mmiliki wa chombo hicho Bwana Stockton Rush ni mmojawapo wa watu waliokuwemo.
Chombo hicho hakikuwa na leseni wala hakuna mamlaka yoyote ya serikali au binafsi inayohusika na udhibiti ilikuwa imedhinisha matumizi ya chombo hicho. Watengenezaji wa chombo hicho wanadai kwamba teknolojia iliyotumika kutengeneza chombo hicho ilikuwa ya juu sana hali iliyofanya mamlaka kushindwa kukielewa kinafanyaje kazi.
Kabla ya abiria kusafiri ni lazima asaini fomu na kukubaliana na masharti yanayoeleza kwamba chombo hicho hakijasajiliwa matumizi yake yanaweza kusababisha ulemavu wa kudumu ama kifo.
Chombo kina uwezo wa kutoa Oxygen kwa muda wa masaa 76.. mpaka sasa yamebaki chini ya masaa 5 Oxygen ya chombo hicho kuisha. Binadamu hana uwezo wa kuishi bila Oxygen kwa muda usiozidi dakika 5...!Nashkru sana mkuuMzima kabisaa
R.I.P matés 😢😢"Miili haitapatikana"
Kiongozi wa Kikosi cha Wanamaji anayesimamia zoezi la uokoaji amewaambia waandishi wa habari kwamba abiria wote waliokuwa kwenye chombo cha Titan wamefariki na huenda miili ya marehemu hao isipitakane kabisa.
Pia kiongozi huyo amesema kwamba mabaki mengine matano ya chombo hicho yamepatikana.
Kiongozi huyo ameeleza kwamba mazingira yalipokutwa mabaki ni ya hatari sana. Kiongozi huyo amesema idadi ya waokozi itaanza kupunguzwa kutoka eneo hilo baada ya masaa 24 kwa sababu eneo hilo ni hatari sana kwa maisha ya watu.
Pichani ndio abiria waliokuwa kwenye chombo hicho. Abiria mmoja alikuwa analipa nauli inayokadiriwa kufikia Shilingi Milioni 600..!View attachment 2665945View attachment 2665946View attachment 2665947View attachment 2665948
R.I.P matés![]()

Shunie we ni mwandishi wa habari ehh 🤔🙄