Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Badala ya kucheza mechi za kirafiki wakati wa kalenda ya FIFA, UEFA wao waliamua kuanzisha mashindano [UEFA Nations League].
Mwanzoni mashindano hayo yalilalamikiwa na wachezaji kwa kuona kama UEFA wameamua tu kutengeneza chanzo cha mapato huku wao wakiendelea kutumika kama nyenzo.
Kicha ya kupigwa vita mwanzoni lakini kwa sasa mashindano ya UEFA Nations League yanakua na yale mataifa makubwa yameanza kuweka nguvu na kuyapa thamani mashindano.
Spain ni bingwa wa tatu wa UEFA Nations League, bingwa wa kwanza alikuwa Ureno [2018|19] bingwa pili Ufaransa [2021|21] na bingwa wa tatu Spain [2022|23].
Kwa hiyo UEFA Nations League ni mashindano makubwa yanayotoa platform kwa timu za Ulaya na kuzijenga, timu bora zinaonekana.
Mwanzoni mashindano hayo yalilalamikiwa na wachezaji kwa kuona kama UEFA wameamua tu kutengeneza chanzo cha mapato huku wao wakiendelea kutumika kama nyenzo.
Kicha ya kupigwa vita mwanzoni lakini kwa sasa mashindano ya UEFA Nations League yanakua na yale mataifa makubwa yameanza kuweka nguvu na kuyapa thamani mashindano.
Spain ni bingwa wa tatu wa UEFA Nations League, bingwa wa kwanza alikuwa Ureno [2018|19] bingwa pili Ufaransa [2021|21] na bingwa wa tatu Spain [2022|23].
Kwa hiyo UEFA Nations League ni mashindano makubwa yanayotoa platform kwa timu za Ulaya na kuzijenga, timu bora zinaonekana.