Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Nikajua kikuu kashafanya yake🤣🤣🤣Khaaaa ukajua kikuu.we na ye hamna tofauti mnayabili tu
Sijala.
Mwehu wewe....
Happy Sunday bhana...
Halafu mie nalisoma "zodoa" sijui kwanini🤣🤣🤣
Ujue hata mimi nilipata shida kweli kumgundua....
Kwendraaa!Usingemwambia Auntie![]()
PambanaSijala.

Halafu mie nalisoma "zodoa" sijui kwanini![]()




Sikwendi...Kwendraaa!
Yeye na babe wakePwagu wewe pwaguzi auntie
Mbona unajitetea sana lakiniKikuu kazoea ujambazi sasa ananisingizia na mimi mtoto wa watu. Wakati inajulikana tu nilivyo mpole na mtulivu.
Yaani auntie ungekuwa sio auntie yangu ningesema naombeni jamani muwe wapenzi yaani akili zenu mnaendana sana




mimi simtakii ata kwa pipi kijitiii
Kwa hiyo umeshindikana wewe ?Yaani auntie vitu vyenye vimeshindikana ndio mimi naendana navyo![]()
Mimi sio tapeli kama wewe


Mwambie sitaki mchepukohii comment aje aione mwenyewe
Hujamboo?Sikwendi...
Sijambo Shem lake...Hujamboo?
Shem wa wapi tenaSijambo Shem lake...
Uko aje?