Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Au alikuwa anasema ili cheusi wake asimshtukie
Usichanganye Mafile Shem wangu....
Au alikuwa anasema ili cheusi wake asimshtukie
Usichanganye Mafile Shem wangu....
Au alikuwa anasema ili cheusi wake asimshtukie





Huwez kumpata leo anamalizia pesa za sensa
Hebu muite aje hapa kwanza....
Huwez kumpata leo anamalizia pesa za sensa





Eti upambane na hali yako
Aiseeee....Hebu Mwambie afanye namna basi kile kishikwambi....Ili anipatie![]()
😏😏😏😏😏Pambana![]()
Zodoa ndio imekaa poa zaidi🤣🤣
Jitahidi ule mboga za majani kwa wingi..
Umefufuka!!Mbona unajitetea sana lakini
Wewe hapo.Kwa hiyo umeshindikana wewe ?
Sijawahi kuwa tapeli mimi🤣🤣Mimi sio tapeli kama wewe![]()
Hello shunila/shunie nimeshiriki shindano kule stories of change uzi wangu ni huu SoC 2022 - Nimfiche wapi Binti yangu?Khaaaa ukajua kikuu.we na ye hamna tofauti mnayabili tu
....mada nzuri, nimekuhesabisha tayariHello shunila/shunie nimeshiriki shindano kule stories of change uzi wangu ni huu SoC 2022 - Nimfiche wapi Binti yangu?
Ukipata muda unaweza kuupita na kulike usisahau ku-vote.
Samahani kwa usumbufu utakao jitokeza(maana nimejaribu kukufikia PM ila nimekuta kufuri)
Thanks in Advance
...mbona kishkwambi tulishaelewana dear, mimi wamesema hawatanilipa ila watanipa hii gadget basi nikiichukia, na ukaiona, basi hesabu ni yako
Aiseeee....Hebu Mwambie afanye namna basi kile kishikwambi....Ili anipatie![]()
Binamu nimekumissTuwe na wiki njema wadau wema wa jukwaa hili. Ndugu yenu nawasalimia