Wapi huko dota nije nikunywe mimi🤣🤣🤣🤣🤣Huwezi amini nimekukumbuka hapa nimecheka mwenyewe. Tumefika kwenye sherehe soda na juice zimeisha; wamekuja wameturundikia Heinekens za kutosha; nikakuwaza mama Muinjili Heinekens ambavyo ungezigonga
Uzee wapi wakati tozo🤣🤣🤣🤣Alooh nimetamani ila sijui ndio nazidi kuzeeka nikikwambia sijanywa mda unaenda mwezi wa pili huuu woiii kweli maisha yanabadilika mama mchungaji
Na wewe kumbe umo?🙆🙆Wapi huko dota nije nikunywe mimi🤣🤣🤣🤣🤣
Tumeanza kuzeeka mama MuinjiliAlooh nimetamani ila sijui ndio nazidi kuzeeka nikikwambia sijanywa mda unaenda mwezi wa pili huuu woiii kweli maisha yanabadilika mama mchungaji
Nimecheka sanaaaaaaaUzee wapi wakati tozo![]()


nimekutana na thread chit chat yaani yaani kuna mtu kacomment kuhusu makapuku eti mashangazi tumejazana tumegeuza kijiwe cha saloon hivi hata post ninazopost mtu haoni jamani yaani mwanaume unateseka na mambo ya wanawake ila jf
Kweli mama mchungaji uzee huuTumeanza kuzeeka mama Muinjili
Mimi tena nikutambulishe we mwwnyewe auntie
Yaani auntie vitu vyenye vimeshindikana ndio mimi naendana navyo![]()



hii comment aje aione mwenyewe



Kuna mtu kaniambia kwa namna kichwa changu kilivyo nisije jaribu🤣🤣🤣Na wewe kumbe umo?🙆🙆
🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka sanaaaaaaanimekutana na thread chit chat yaani yaani kuna mtu kacomment kuhusu makapuku eti mashangazi tumejazana tumegeuza kijiwe cha saloon hivi hata post ninazopost mtu haoni jamani yaani mwanaume unateseka na mambo ya wanawake ila jf
Huyu Zodwa ni nani?Mimi tena nikutambulishe we mwwnyewe auntie
Auntie jamaniii kweli karma huyoooHuyu Zodwa ni nani?
Yaani
Stress za tozo hizo auntie. Akuje tumsaidie kuzipunguza.


tozo kibokooo watu wanachukia chukia watu hovyo kweli umekuja huku ukafukuzwaKaazi kweli kweli.Auntie jamaniii kweli karma huyooo
Khaaaa ukajua kikuu.Kaazi kweli kweli.


we na ye hamna tofauti mnayabili tuNikikumbuka ile coment ya majinjah yaani nacheka naona sikukosea kabisaaaa





Huyu Zodwa ni nani?




