Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ukiona mafuta yamepanda bei kidogo, halafu unalalamika kama myukreini...wewe ni kapuku

Ukiona maza hapandishi mshahara, halafu wewe unalalamika kama ugali na dagaa sio msosi...wewe ni kapuku

Ukiona joto kidogo tu likiongezeka, halafu unalalamika kama huna hela ya kununua feni au eisii...wewe ni kapuku

Ukiona bando zimepanda kidogo tu, halafu unalalamika huna hela ya bando...wewe ni kapuku

Naweza nikaendelea na kujaz aseva za jeiefu
Hivi ukiwa na hela ndio uzitumie hovyo hovyo tu. Wapandishe vitu utulie tu kwakuwa unazo!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom