Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nimeisoma sehemu nikasikia mchozi wanitoka😀😀😀
Hakyanani ukapuku hauepukiki, kama tozo ya king'amuzi tu..yaani buku buku tunalia hivi...basi sisi ni makapuku Pro max😀😀

Tutahamia mikoani huko, tuwaachie barabara zao wapite na maving'ora yao...

Mambo wanatufanyia ni sawa na kumshindisha mtu njaa halafu unamwambia ajambe...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini afukumi na afusita lakini OBE?

Aki!!!! You can take a man out of the village, but you cannot take the village out of Him..."
.....sahihi kabisa my dear.
Karibu sana Mtwara uangalie jiji ndani ya mji
 
Back
Top Bottom