Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,186
- 35,340
Ndiyo mimi Tajiri kaka...[emoji19][emoji19][emoji19] Wewe ukope kweli..
Ndiyo mimi Tajiri kaka...[emoji19][emoji19][emoji19] Wewe ukope kweli..
Watupe jina gani sasa Auntie...Mods walibadilishe aisee kama waliweza kumtoa mleta thread hata jina watabadilisha Paw Cookie Moderator Maxence Melo tunaomba mtubadilishie jina la Makapuku jamani tunawaomba
Mlima kibo[emoji28]Sema umepanda mlima gani, hehehe we mtoto siku hizi unapanda milima?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eeeeh, kule ni kuamshana tu, hakuna kulala hataaa! Naachaje kusabsraib.[emoji3][emoji3]
[emoji1787]kwanini nikutanie Auntie .[emoji23][emoji23][emoji23] Ebu acha kunitania bwana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] Eenh auntie 478 miamala ninayoifanya sio wa kupewa hiko kiasi hivi wanazingatia vigezo gani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilikumiss bwana anayekuficha mwambie auntie awe anakuachia kidogo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka sanaaaa
Nimeisoma sehemu nikasikia mchozi wanitoka😀😀😀Hahah...ukapuku utaendelea tu
Muda si mrefu kwenda Mbezi, Kiluvya, sijui Kibamba huko inakuja tozo ya kupita kwenye barabara yao hiyo mpya...
Mwaka huu airtel wamenipa Tsh.7,544.22. Hili ni gawio la kunitosha miezi mitatu nikisubiri lingine 😀😀[emoji23][emoji23][emoji23] Eenh auntie 478 miamala ninayoifanya sio wa kupewa hiko kiasi hivi wanazingatia vigezo gani
Sasa jamani, au niache tu kuuliza manake nisijesemwa hapa. Ila hapana, huu mlima ulivyo mrefu wapandaje ewe binti..ni nani anakushika mkono😀😀Mlima kibo[emoji28]
Umefurahi sasa?
Maana uko upuuzi mwingi sana wewe[emoji1787]
😄😄😄 Kakope basi na mie unaigawie.. maana leo njaa kali kweli kweli mama lishe kagoma kutukopaNdiyo mimi Tajiri kaka...
Hasara kitu gani bwana, siamini kama kasema hivyo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hataki etiii
Anasema mimi nitamtia hasara
[emoji3][emoji3]Aiseeee [emoji848][emoji848]
Ebu tujadili apa ebu tuchague auntie Hadde Espy Atoto jina gani jamaniiWatupe jina gani sasa Auntie...
Pendekeza basi...
Japo mimi hata hili sawa tu[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwamba unanitamanishaHahah we jikane tu, mwenzio nitaenda pale na bahasha yenye wekundu [emoji384][emoji384]
Hahahaha hatujambo mama mchungaji karibu bwanaNilipita kukusalimia kijiweni kwako mama Muinjili. Wajionaje hali?
Jamani mbona nafanya miamala sana hata sijui nafeli wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nadhani wanaangalia kiwango unachofanya na kwa mara nyingi kiasi gani...
Mimi gawio langu siyo poa aiseee....
Ni aibu.... woiiiii
Wote tuna majukumu auntie ila usiadimike sana bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Majukumu Auntie...
Miss you zaidi