Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Hakunaga matani na Mungu auntie kama unaweza we endelea nalo tu





Marahaba Mdogo MtuShikamoo dada yangu![]()

Auntie niacheee nikiwa kwenye mawindo yangu
Auntie..


kizuri kula na mwenzio
Juzi sijui alikutukana tusi sijui la bus gani
Eti Kimbinyiko..
Ukifanikiwa nikumbuke na mimi AuntieAuntie niacheee nikiwa kwenye mawindo yangukizuri kula na mwenzio

Si hilo hilo Auntie...Juzi sijui alikutukana tusi sijui la bus gani

Wewe week mbili Auntie??? Mimi naenda Mwaka sasa...Hivi kutopata notification kwenye app ni mimi au na nyie week ya pili hii sipati

Dah sijui lini tutapataWewe week mbili Auntie??? Mimi naenda Mwaka sasa...
Tangu mwaka jana mwishoni notications sioni..
Hahahahah ngoja tuone auntieUkifanikiwa nikumbuke na mimi Auntie![]()
Yaani auntie matusi yako mabus yako unayoyapanda![]()






Aaah mie nitoeni kwenye huo ujambazi wenu mtoto wa watu.humu kuna kumjambazia mtu au tunajambaziana
Lina maana gani kwanza? Isijekuwa lina maana ya kimbinyiko buree
Utaliweza sasa???

Mmmh!! Mbona leo umeitikia vizuri hiviMarahaba Mdogo Mtu![]()


