Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jacqueline Ntuyabaliwe ambaye ni mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu nchini, marehemu Reginald Mengi, ameshinda pingamizi alilowekewa na wasimamizi wa mirathi katika rufaa ya mirathi.

Ameshinda pingamizi hilo baada ya Mahakama kukataa hoja zote saba za pingamizi la wasimamizi wa mirathi.

Hii ni mara ya pili kwa mjane huyo kushinda pingamizi kutoka kwa wasimamizi wa mirathi hiyo wanaopinga kusikilizwa maombi yake ya mapitioView attachment 2196419
Babu na mjukuu, kiliumana
 
Umri wa vijana wadogo kama Denis Nkane wanaenda Yanga, wanafanya mazoezi na wachezaji wakubwa sana, wanafundishwa na Makocha wakubwa

Wanaishi maisha ya mpira nje ya uwanja, kuanzia maisha (fedha), eneo la utabibu, eneo la vyakula (lishe) na hata kisaikolojia wanaandaliwa vyema kukabiliana na changamoto

Wengi mnaamini mchezaji anajengwa kwa dakika 90 za mchezo pekee, jibu ni Hapana! Mchezaji anatumia muda mwingi nje ya uwanja ndipo ambapo mchezaji anatengenezwa

Dakika 90 ni sehemu ndogo sana kwenye cycle ya Mchezaji, akiwa imara nje hizo 90 atakuwa imara maradufu
Screenshot_20220422-151200_OGInsta%2B.jpg
 
Kaka mwanamke anajua mwanaume aliyekuwa naye na uwezo alionao mpaka aamue kukuomba mamillion uko ni kwamba una uwezo wa kumpa kwahiyo acha apambane na huba lake azike au asafirishe. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na hizi radi acha niendelee kuvuta shuka
Kweli kabisa ila mwanamke anae jitambua ndio huzingatia uwezo wa mpenzi wake

Wengi wanasema mwanaume sio ndugu
 
Back
Top Bottom