Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,182
- 35,323
Kamtaja[emoji28]Hahhaha kamtaja sasa huyo tapeli humu jf
Kamtaja[emoji28]Hahhaha kamtaja sasa huyo tapeli humu jf
Sawa ila nikirud Tanzania kila kitu kitakuwa sawaWoyooooo
Mambo anayoyapenda auntie yangu usisahau na maharage na mtindi litre 5
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kikubwa uhaiiiii
NashkruAwwww santeee[emoji126][emoji126][emoji126]
Ongeza 10 za Dada mtu hapa[emoji28]Nina mpango nimwandalie mchele wa kyela kilo 20
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Woyooooo
Mambo anayoyapenda auntie yangu usisahau na maharage na mtindi litre 5
MmmmhKabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Auntie umeandikiwa si etiii sio muandiko wako huu
Ulivyosema hiyo Awwwwwww...[emoji28][emoji28][emoji849][emoji849]Awwww santeee[emoji126][emoji126][emoji126]
Asante kwa kulijua hiliMoyo unasukuma damu tu.
Gari ya wanyonge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo kwa Vits nimecheka mno...
HahahaNaona ndugu yetu ukali wote unapungua taratibu...
Kweli Mungu siyo makaveli10 [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Najifunza kubembeleza tu
Kwahiyo macho matatu inauzwa milioni3? Aawe acheni ujinga. Hapo si nafungu kaduka kangu ka tekno[emoji15][emoji15][emoji15]Auntie unaupiga sana umepata wa kukuhonga simu tena macho 3 ya mill 3
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa naanzaje kuwa na shida kumuomba Lee wangu mill 10 si nitakuwa namtafutia sababu tu ya kuachana na mimiKweli kabisa ila mwanamke anae jitambua ndio huzingatia uwezo wa mpenzi wake
Wengi wanasema mwanaume sio ndugu
Niache we mwanamke, mbwinu zako nimezistukia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mapema sana na wewe....
Hapana...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Awwww santeee[emoji126][emoji126][emoji126]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulivyoisema sasa hiyo Yewooooomi...
Hapo wanamalizia: Apaaaaaa wande[emoji23]
Woyooooo mambo tunayoyapenda familia yetu [emoji847][emoji847][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Auntie nilikuambia huu mwaka umekuja kivingine...Tutarajie makubwa zaidi Aunty akeee...
Uwezo wako ni shiningi ngapi babe nikuombe?Ulicho sema ni kweli
Kumhudumia mpenzi ni wajibu wetu wanaume lakini inatokoea mwanamke anaomba hela ambayo iko nje ya uwezo wa mpenzi wake
Hapo mwanaume atafanyaje si ataonekana hamjali
Maisha ili yaende lazima mzani uwe sawa