Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mchezo wa Ligi Kuu England kati ya Bunley dhidi ya Southampton ulisimama kwa dakika kadhaa kupisha wachezaji Mohamed Elyounoussi na Yan Valery kupata futari kwasababu wapo kwenye mfungo.
Mchezo huo Bunley ilishinda kwa mabao 2-0 kwenye uwanja wa Turf Moor
Screenshot_20220422-142705_OGInsta%2B.jpg
 
Back
Top Bottom