Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,184
- 35,329
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio, aifoni zaidi ya ile ya kikuu[emoji1787][emoji1787]
Kwendraaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio, aifoni zaidi ya ile ya kikuu[emoji1787][emoji1787]
Hela ya kiwanja Kinzudi Auntie[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Auntie yangu ana simu ya mill 3 kasoro auntie shikamoo bwana acha sie tuendelee kutumia wereva zetu
Mkuu nimecheka mpka nimepaliwaHahahhaha sanamu litembezwe kama mwenge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana usighairi kabisa muoe auntie yangu hivyohivyo nimeona we ndio unamuweza
Auntie unaupiga sana umepata wa kukuhonga simu tena macho 3 ya mill 3[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenzangu!!!kupatwa kwa Maki[emoji28]
Me bwana acha tu nimwaminiUsimsikilize huyo Auntie[emoji28]
🤣🤣🤣Mkuu nimecheka mpka nimepaliwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] me bwana acha nile raha tu nitajenga wenye nyumba wakigoma kupangisha nyumba zaoKweli kabisa unaongeza migogoro ya familia tu
Kula raha kufa kwaja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nijifunze kubembeleza maana unajua sisi wakulima hatuko romantic
Juhudi zako hizo Shem....Naona babe wakoo amekushika haswa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanajitoa au vits mbovuHela ya kiwanja Kinzudi Auntie[emoji28]
Mapema sana na wewe....Nasubiri uninunulie aifoni babe.
Kweli auntie ujue anamuweza. [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyieeee!!!!
Ahsante Obe...Happy furahiday wanaJukwaa. Tuwe na wakati mzuri
😎Juhudi zako hizo Shem....
Barikiwa..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yewooomi[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Ukistaajabu ya kikuu utayaona ya mndali!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushamkosa aunt
Ulicho sema ni kweliTusidanganyane jamani upendo uwepo na pesa iwepo sio pesa labda mamilion hapana mpenzi wako inatokea ana shida msaidie na sio mpaka muombwe muwe mnajiongeza tu kuwapa bila kuombwa
Kaka mwanamke anajua mwanaume aliyekuwa naye na uwezo alionao mpaka aamue kukuomba mamillion uko ni kwamba una uwezo wa kumpa kwahiyo acha apambane na huba lake azike au asafirishe. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ulicho sema ni kweli
Kumhudumia mpenzi ni wajibu wetu wanaume lakini inatokoea mwanamke anaomba hela ambayo iko nje ya uwezo wa mpenzi wake
Hapo mwanaume atafanyaje si ataonekana hamjali
Maisha ili yaende lazima mzani uwe sawa