Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ila Julio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220422-143723_OGInsta%2B.jpg
 
MENEJA AFUNGUKA ULOMI KUVUNJIWA MKATABA
.
SIKU chache baada ya mshambuliaji David Ulomi [emoji1241] kuvunjiwa mkataba na klabu ya Al Hilal Omdurman ya nchini Sudan [emoji1232] meneja wa mchezaji huyo, Michael Mwebe ameweka wazi kilichosababisha nyota huyo kuachana na timu hiyo.
.
Ulomi alijiunga na Al Hilal, Oktoba mwaka jana kwa mkataba wa miaka miwili na alikuwa sehemu ya kikosi kilichoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
.
Mwebe amesema ni kweli Ulomi aliyewahi kukipiga Ruvu Shooting na Dodoma Jiji kabla ya kwenda Sudan, amevunjiwa mkataba, ikisababishwa na timu hiyo kutolewa katika mashindano ya kimataifa.
.
Mwebe amesema sheria za Sudan zinaruhusu wachezaji wanne wa kigeni lakini kwenye mchezo mmoja lazima wawe watatu tu na alipokuwa akipangwa Ulomi kulikuwa na sintofahamu nyingi kwa sababu ya umri wake.
.
“Ukweli ni kwamba Ulomi ni mdogo ilipotokea anatakiwa mchezaji mmoja apunguzwe kwa wale wageni haraka haraka ilikuwa kwake, kocha anampenda sana na ndio maana alikuwa anampa mechi za kucheza hata zile za kimataifa,” amesema.
Screenshot_20220422-144110_OGInsta%2B.jpg
 
ALABA HATARINI KUWAKOSA CITY
.
Beki wa Ral Madrid, David Alaba amemuumiza kichwa Carlo Ancelotti baada ya kuumia misuli ya paja kwenye mchezo wa La Liga waliposhinda 3-1 dhidi ya Osasuna.
.
Alaba alifunga bao la kuongoza kwenye mchezo huo lakini alilazimika kutolewa kipindi cha pili bada ya kushindwa kuendelea na mchezo nafasi yake ikichukuliwa na Dani Carvajal.
.
Beki huyo tegemeo Real sasa huenda akaikosa nusu fainali ya kwanza ya Ligi Mabingwa Ulaya dhidi ya Manchester City itakayochezwa wiki ijayo kwenye Uwanja wa Etihad.
Screenshot_20220422-144209_OGInsta%2B.jpg
 
Back
Top Bottom