Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,011
- 31,798
Amini ombi langu la kwanzaSimuamini.
Amini ombi langu la kwanzaSimuamini.
Ashukuriwe mungu muumba wa mbingu na nchi...BH aachwe apumzike, anakusalimia sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu hukoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkweo huyo lakiniAngesema mwingine ningemuamini, wewe huaminiki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu ndio ukweli mama mchungaji
We mzee unawasaidia kufungaMaharage .magimbi .mihogo. Muda huu tunaita futari
karibu wana makapuku
Mnunulie hii hii original hii
Nipo apa babeBabe
Jumia walishaaga toka wameaga nikafuta na app yaoIla Kikuu [emoji23][emoji23]
Hivi Jumia bado wapo wenyewe ?
HapanaHuyu ndo mama mchungaji wa obe BH?
Babe usipinde pinda nitaje tu mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna mtu humu humwambii kitu kuhusu kikuuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na ninawakumbusha nguo agizeni jezi tu wapo vizuri sanaHahhaha aisee
A friend of mine aliorder suti kupitia kikuu ,akawa excited kuona suti yake .. alipopokea hiyo delivery alipewa suti ya mtoto wa miaka 6 .
Kwa vifaa vingine labda wapo vizuri ila kwenye oufits hapana
Jezi zangu za man u zote naagiza kikuu maka akee na ni nzuri sana sijawahi jutia kabisaVitu gani haswa unaagiza shunie akee?
HaniaminiMnunulie hii hii original hii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] shida auntie mkiambiwa ukweli hamuamini kabisaNabisha ndiyo Auntie[emoji2]