Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,192
- 35,359
Nabisha ndiyo Auntie[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwamba auntie unanibishia mwenye simu yangu si ndio
Nabisha ndiyo Auntie[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwamba auntie unanibishia mwenye simu yangu si ndio
Mwenzangu[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hataki mukufwe single
Ulisema umeacha michepuko lakin umetulia na mama mkubwaSasa anko kwanini ulikuwa hujaniambia, huk ndiko kunanifaa, biashara yangu ya ufuta na korosho si itapata wateja
Fanya kuniunganisha nami nikija mjini nifike hiyo site
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana Anne we umewazidi wanakufatia fatia kidogo
...anataka kutuchonganisha hyo. Mimi nilivyowaita nia yangu ilikuwa kama nilivyokueleza kuhusu mdogo wake lakini ndiyo amefunga ila nitafanya kama ulivyofanya juziHapana binamu kanipigia na namba kasema umempa wewe jana ulivowaita kwenye ile pub na mimi nmefanya maksudiiii....alafu sasa au ngoja nisiendelee
Alinipigia kunisalimia eti nikuchunge...BH aachwe apumzike, anakusalimia sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] binamu usinikumbushe...ile formula yako kuwa mtu akishafuturu anakuwa huru [emoji1787][emoji1787][emoji1787]...anataka kutuchonganisha hyo. Mimi nilivyowaita nia yangu ilikuwa kama nilivyokueleza kuhusu mdogo wake lakini ndiyo amefunga ila nitafanya kama ulivyofanya juzi
...zoezi la anuani za makazi linaloendelea sasa hivi linaweza kuboresha hizi huduma. Dunia ya sasa, online shopping ndiyo ina tawala, subiri ije na whatsapp moneyHahaha ndio
Bado hatuzielewi aisee
Sasa hivi wengine wamehamia Alibaba atleast wao wanarudisha pesa
Ooh yeah.. the future is exciting...zoezi la anuani za makazi linaloendelea sasa hivi linaweza kuboresha hizi huduma. Dunia ya sasa, online shopping ndiyo ina tawala, subiri ije na whatsapp money
Ndiyo ShemYa mwezi wa 12 leo wanne kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna mkate mgumu mbelevya chai...mbona atanyooka
Ila si tulisema au tuufanye wa sita ndo wa 12Ndiyo Shem
Siku hazigandi[emoji28]
Ukute ashakufa na kuoza...kila saa babe umekula ..unafanya nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na aione hii..
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ila si tulisema au tuufanye wa sita ndo wa 12
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukute ashakufa na kuoza...kila saa babe umekula ..unafanya nini?
Na anampaq yoteeeeee.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yule ndugu yangu yule sijui..
Tuwahi pesa za korosho hazijaisha[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ni maamuzi tu Shem...
Hebu Iwe hivyo basi...
Mambo yanaweza kuwa mengi hapa katikati[emoji28][emoji28]
Hahaha hao waganga ni sehemu ya uchumi wa katiHuku hovyo tu.
Waganga wanaagiza dumu la mafuta lita 20 badala ya kuku.