Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,192
- 35,358
Ha ha ha...Hahahahaha nmekutumia ujumbe
Sawa..
Ha ha ha...Hahahahaha nmekutumia ujumbe
He he he.......ya Real Madrid itakupendeza
Hili ni special binamu...huniamini na wewe....anko, unachotaka kumwambia mwambie hapa hapa, mbona cheusi wa taifa ulimwambia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....anko, unachotaka kumwambia mwambie hapa hapa, mbona cheusi wa taifa ulimwambia
Hili ni special binamu...huniamini na wewe
UmepataHe he he...
Hiyo niliwahi kuwa nayo wakati fulani niliishia kuigawa kabla ya kuvaa....
Nataka ya Barcelona![]()
Binamu ulivonifanyia mimi siwezi kulipiza...nakuamini sana anko ila tahadhari ni muhimu. Adui ni ndugu
Asante sana mkuu kwa msaada wa kuniitia dadangu maana siku nyingi sanaSalama sana mkuu Mndali. Ni jambo zuri kukuona hapa mdau
Ngoja nimuite na Tumosa umsalimie
Ahsante Shem wangu mimi...
Dah kumbeJumia walishaaga toka wameaga nikafuta na app yao
Haha jezi pia kumbe ..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na ninawakumbusha nguo agizeni jezi tu wapo vizuri sana
Sema ntaandikaa😊Ahsante Shem wangu mimi...
Hapo mgongoni nitakumbia kiandikwe nini.. Au ikinifikia nitaandika tu mwenyewe...
Sijaweka chochote ndio maana sijarudi tena baada ya kukuona huelewekiUmeniwekea order lakin?
Ha ha ha....Sema ntaandikaa[emoji4]
Auntie sina wivu hata yaani moyo umeshachoka. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ila Shem...Eti fungua PM....
Ila Aunty yangu afikirie nini hapo?[emoji2]
hahahaha.We mzee unawasaidia kufunga
Tena ilikuwa miaka miwili nahisi iliyopita walisema Tanzania wanapata hasara wanaacha jumia food tuDah kumbe
Ndo maana sijawahi kuwasikia tena
Shoppers plazaHaha jezi pia kumbe ..
Ofisi za zipo wapi hivi ?
Woiiiiii[emoji28]Auntie sina wivu hata yaani moyo umeshachoka. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee pole kwaoTena ilikuwa miaka miwili nahisi iliyopita walisema Tanzania wanapata hasara wanaacha jumia food tu