Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ambacho sijapenda ni wewe kumsanua ile ishu na unajua akijua ataniganda kama kipindi kile ..na mm nmemwambia rafk yake apewe namba zako ili ngoma iwe drooo...sema yukoo vizurii
......hapo sasa utakuwa umefanya makosa maana mimi namba yako niliyompa sio ile unayoitumia. Ilibidi nifanye vile maana alisema anataka kuja mitaa ya nyumbani kwako akiwa na kikundi cha wasanuaji aje akujazie watu. Wewe ndugu yangu ikabidi nimpe namba akalainika.

Kule nitaenda tena maana yule alikuwa mfanyakazi wa posta kazi yake kulamba stamp (stamp licking) na akapata part time kupuliza mabaluni (blowing balloons) ana uzoefu
 
Hahhaha aisee
A friend of mine aliorder suti kupitia kikuu ,akawa excited kuona suti yake .. alipopokea hiyo delivery alipewa suti ya mtoto wa miaka 6 .

Kwa vifaa vingine labda wapo vizuri ila kwenye oufits hapana

Okay, sasa nimeelewa kwamba Kikuu na Jumia ni online shopping sites.

Anko wangu Lee alitaka kuniingiza chaka, hapa ndugu sina kabisa kwa mwendo huu
 
......hapo sasa utakuwa umefanya makosa maana mimi namba yako niliyompa sio ile unayoitumia. Ilibidi nifanye vile maana alisema anataka kuja mitaa ya nyumbani kwako akiwa na kikundi cha wasanuaji aje akujazie watu. Wewe ndugu yangu ikabidi nimpe namba akalainika.

Kule nitaenda tena maana yule alikuwa mfanyakazi wa posta kazi yake kulamba stamp (stamp licking) na akapata part time kupuliza mabaluni (blowing balloons) ana uzoefu
Hapana binamu kanipigia na namba kasema umempa wewe jana ulivowaita kwenye ile pub na mimi nmefanya maksudiiii....alafu sasa au ngoja nisiendelee
 
Back
Top Bottom